HABARI:
Kikwete apata tuzo Marekani
Source:JamiiForums

Rais Mstaafu Jakaya Mrisho Kikwete akipokea Tuzo ya Uongozi wa Kisiasa na Utetezi kutoka kwa Mkurugenzi Mtendaji wa#SpeakUpAfrika Kate Campana, katika hafla iliyofanyika siku ya Alhamis New York Marekani.

Tuzo hiyo ni kutambua jitihada na juhudi zake za kufikisha huduma za jamii hususani afya kwa wanawake na watoto.

Kikwete.png 
CtBbQs0XEAAjMzU.jpg

Share this

Related Posts

Previous
Next Post »